Wanaokata
rufaa vyeti feki waonywa, serikali yamwaga ajira 15000, Sakata la
vyeti feki: Ngoma bado mbichi, Magufuli amsamehe Mbowe, Maalim Seif :
Kukaa na Lipumba! No way.
Wizara
kupunguza rufaa ya matibabu nje, Maalim Seif: Heri CCM kuliko Lipumba
msaliti, serikali yashusha presha vyeti feki, mafuta yashuka bei, CCM
yatoa tani 1000 za chakula cha msaada. Pata uchambuzi wa magazeti ya leo
hapa.
NEMC YAFUTURISHA SERENA
-
-Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi
-Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Nchini*
Baraza la Taifa la Hifadhi n...
0 comments:
Post a Comment