Kutoka Rock City 'Mwanza' Hip hop artist anayekwenda kwa jina la Bonz anamshirikisha mkali wa R&B nchini Jux kupika mpini unaoitwa My Angel. Mapishi yakifanyika katika studio za Am Records jijini Dar es salaam chini ya mtayarishaji Gard. BOFYA PLAY KUSIKILIZA.
WAZIRI MKUU ATOA AGIZO KWA WATENDAJI SERIKALINI
-
*Awataka wahakikishe miradi inasimamiwa na kuleta tija iliyokusudiwa
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watendaji wa Serikali wanajukumu
la kuhaki...
SERIKALI YAELEZA DHAMIRA YA KUWAWEZESHA VIJANA
-
Na Asia Singano na Josephine Majura, WF, Mwanza.
SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuwawezesha vijana kiuchumi
kupitia sera na mipango mbalimb...
0 comments:
Post a Comment