Kutoka Rock City 'Mwanza' Hip hop artist anayekwenda kwa jina la Bonz anamshirikisha mkali wa R&B nchini Jux kupika mpini unaoitwa My Angel. Mapishi yakifanyika katika studio za Am Records jijini Dar es salaam chini ya mtayarishaji Gard. BOFYA PLAY KUSIKILIZA.
Mtandao wa intaneti warejeshwa Uganda
-
Hii ilikuwa ni mara ya pili kwa Uganda kuzima mtandao wa intaneti wakati wa
uchaguzi kwa sababu za usalama wa kitaifa.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
0 comments:
Post a Comment