ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 3, 2014

CHEREKO LA USIKU WA SUMAI, BONGE LA PARTY LA SEND OFF LAFANYIKA JEMBE BEACH MWANZA

Sumai Kazi (with white dress) akiwa na dada ake wakiingia eneo la ukumbi kwa kutumia boat maalum ili kujumuika na ndugu jamaa na marafiki waliofika Jembe Beach kushuhudia Send Of Party yake.
Wakishuka kwa kutumia ghati tayari kuingia ukumbini.
Sumai (L) akiwa na dadayake (R) sanjari body guard wake. 
Sumai's Night.
Body guard namba moja.
Mazingira ya juu ukumbi wa bustani tulivu ya Jembe Beach Mwanza mahali ambako kulifanyika Usiku wa Sumai.
Sumai akiwakabidhi keki wazazi wake Mr& Mrs Kazi.
Sumai akikabidhi keki familia ya upande wa Bwana Harusi mtarajiwa.
Kitu cha udrinki wa milipuko....kilihusishwa kama sehemu ya ufunguzi wa sherehe na kusherehekea usiku wa Sumai.
Sumai akitosti na familia ya wakwe zake.
Sumai akimkumbatia shangazi yake.
Sumai akimvisha zawadi mumewe mtarajiwa Jully Ilunga Mbwebwe mara baada ya kumtambulisha kwenye hafla maalum iliyofanyika katika bustani yenye maadhari ya mvuto wa kipekee ya Jembe Beach aka Jembe ni Jembe jijini Mwanza.
Sumai Kazi akiwa na mumewe mtarajiwa Jully Ilunga Mbwebwe ambaye wapambe wake wanamuita Weston Grand Packeboo.
Familia ya ndugu na jamaa wa Jully Iluga Mbwebwe walikuwa na zawadi maalum kwa Sumai, na hapa walimkabidhi vito vya thamani na kumvisha.
Misosi tyme.
Apple thing.
Pacho Mwamba ni msemaji wa Familia na hapa akiungana na wageni kupata chakula.
Wakijinafasi.
Hapo vipi....!!?
Sister Sisters kutoka kushoto ni Sis-Kanengo, Sis-Matata na Kebby. 
Utamaduni wa Mwafrika kanga muhimu kuhusika.
Mambo ya vidole juu kwa akinamama na akinadada.
Sumai hapa alioga fedha mpaka baaasi.
Mama ni Mama.
Mr & Mrs Kazi wakizawadiwa kwa kuzaa chema.
Mizawadi mpwachaa!!
Kapu la mama.....hilooooo!!!
Mijihela....!!
Shavu....!!
Mkono wa kheri.
Hapa zilimwagika dorali kama gunia saba hivi....
Zawadi za Sumai kwa Baba na Mama.
Kamati ikiwasilisha mchango wake kama sehemu ya zawadi.
Kisha ikajitambulisha.
Bye Bye...!!
Dance la Bwana harusi mtarajiwa na nduguze lilikuwa nowmer siunajua tena wakongomani na masebene walisebenuka ile kisawasawa....!!
Mc G.Sengo (L) na mwanamuziki wa Fm Academia Patchou Mwamba (R) ambaye ndiye aliyefanya utambulisho  wa familia ya Jully ambaye ndiye bwana harusi mtarajiwa.
Kisha ngoma juu ya ngoma.
PICHA NA GSENGO

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.