Mkurugenzi Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpaka Dudai', Dinah Siame Mkazi wa Dar es Salaam aliyejishindia tiketi ya kwenda kwa mapomziko nchini Dubai na mwenzi wake, baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Mauzo wa Unilever Tanzania, Teresa Kamweru. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpaka mpaka Dubai', Julius Juju aliyejishindia fedha taslimu sh. 600,000 baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Mauzo wa Unilever Tanzania, Teresa Kamweru. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpaka Dudai', Habiba Shembiru Mkazi wa Dar es Salaam aliyejishindia tiketi ya kwenda kwa mapomziko nchini Dubai na mwenzi wake, baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Mauzo msaidizi wa Unilever Tanzania, Brenda Wakiagi.Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpakaDubai', Joyce Msilu aliyejishindia fedha taslimu sh. 600,000 baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Mauzo msaidizi wa Unilever Tanzania, Brenda wakiago. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Kampuni ya Unilever Tanzania Limited, Raymond Banda (kulia) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae mpaka Dudai', Ronald Shirima Mkazi wa Tegeta Dar es Salaam aliyejishindia tiketi ya kwenda kwa mapomziko nchini Dubai na mwenzi wake, baada ya kununua sabuni ya Omo. wa pili kulia ni Balozi wa Omo, Mariamu Migomba na Meneja Matukio wa Unilever Tanzania, Nicholous John.Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana.
MUHAS YAADHIMISHA WIKI YA UBUNIFU
-
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu Idara inayohusu Sayansi na Teknolojia
imetengeneza mwongozo wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika Taasisi zake
za E...
MUHAS YAADHIMISHA WIKI YA UBUNIFU
-
Mkurugenzi wa Elimu ya Juu kutoka Wizara ya Elimu, Profesa Peter Msofe,
akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Wiki ya Ubunifu ya Chuo Kikuu cha
Afya na S...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.