![]() |
| Katika pozi Bwana harusi Jackson Joseph na Bi. Silla Jackson. |
![]() |
| Lets us dance. |
![]() |
| Bi. Monica wa Clouds Media akizungumza jambo kwaniaba ya wafanyakazi wa Kampuni. |
![]() |
| Safu ya meza ya maharusi na wapambe wao ni full tabasamu hakuna kutegea.... |
![]() |
| Mc wa sherehe ya harusi ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha Jahazi Ephrahim Kibonde akiongoza zoezi la ufunguaji shampeni katikati ni Godwin Sanka na kulia ni Bonge wa Power Breakfast. |
![]() |
| Baba mzazi wa Jackson (Mzee Joseph mwenyewe) akiwa ameambatana na mama wakienda kukabidhi zawadi. |
![]() |
| Mmmmmmh...Hatariiiiii' tupu ni wakati wa kusakata rumba na hapa mjanja wa wajanja Mbwiga wa Mbwiguke sanjari na Dada Monica wakiongoza raha hizo. |
![]() |
| Mwakilishi aliye tuwakilisha 88.1 Mwanza Bw. Samadu Abdul (pale kati) akisakata ngoma ya watu wa kabila la Wahaya. |
![]() |
| ChiaaaaaaZZZz. |
![]() |
| Picha za kumbukumbu na maharusi wa kwanza kulia ni Samadu Abdul na wapili kushoto ni mtangazaji wa kipindi cha Ng'aring'ari ndani Clouds Tv Mamaa Sakina Lyoka. |
![]() |
| Haleluyah.... |
![]() |
| Timu kamati ya maandalizi ya harusi ikipeleka zawadi kwa maharusi. |
Tupe maoni yako
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
0 comments:
Post a Comment