![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akifungua pazia la bango la wadhamini katika hafla ya kukabidhi ward ya wajawazito Hospitali ya Rufaa Bugando Mwanza iliyokarabatiwa na CRDB Benki. |
![]() |
| Pia CRDB imekabidhi mablanketi, vyandarua, vitanda na mashuka pamoja na mapazia ya kusitiri huduma maalum kwa ward ya wajawazito Bugando. |
![]() |
| Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Ernest Mangu akishiriki utandikaji mashuka na blanketi katika ward ya wajawazito Hospitali ya Rufaa Bugando iliyokarabatiwa na CRDB Bank. |
![]() |
| Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa Bugando wakitandika 'kiprofesheno' zaidi... |
![]() |
| 'Kiprofesheno' zaidi..!! |
![]() |
| Ukarabati huu umegusa kila engo hadi hapa (sekta nyeti) |
![]() |
| Chumba kingine katika ward hiyo ya wajawazito BMC. |
![]() |
| Furaha. |
![]() |
| Blogger G. Sengo akisaidizana na muuguzi wa ward ya Wajawazito Dr. Asha Juma kutandika mashuka vitanda vya ward hiyo ya Hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza iliyokarabatiwa na CRDB Bank. |
![]() |
| Mashuhuda na wafanyakazi wa CRDB walio hudhuria hafla hiyo. |
![]() |
| Burudani toka Bujora Nyoka Dance. |
![]() |
| Wadau haflani. |
![]() |
| Kusanyiko haflani. |
![]() |
| Shukurani za akina mama. |
Tupe maoni yako





















0 comments:
Post a Comment