HI Guys, hiyo ni Track ya Vumbe inaitwa Maisha ni Watu na hii ni Original Version. Usijinyime burudani kwani Iko poa sana hivyo nakuomba uisikilize ng'anawane.....
Studio ambako ngoma hii imefanyika ni kwa produza STEVE White.
Isikilize kwa kubofya PLAY...
NAOMBA KUWASILISHA NI MIMI D'JARO ARUNGU-TBC you can also Call me babamzazi.
MKUU WA MKOA KATAVI AAGIZA UTII WA SHERIA ZA TASAC
-
Na Mwandishi Wetu,Katavi
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, ameagiza wadau wote wa usafiri
majini na shughuli zinazohusiana na uendeshaji wa vyom...
0 comments:
Post a Comment