Kuna kitu alikuwa anakishangaa.....!!!! "dUH NiNakipaji uspime kunisikia nikiimba!!"
Zoezi la kumsaka mwakilishi wa mkoa wa Mwanza limefanyika leo jijini hapa, jamaa huyu ambaye hakujulikana kuwa anatoka wapi, au wilaya gani au kisiwa gani jicho la kamera yetu lilimnasa toka eneo la usaili mlango wa Club Fusion hadi njia ya uelekeo wa barabara ya Makongoro - Airport na hapa alikuwa amefika eneo la jengo la Ofisi za CCM Mkoa. Sijui alifanikiwa????
ADEM Yawataka Wahitimu Kuwa Mabalozi wa Uzalendo
-
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
WAHITIMU wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) wametakiwa kuwa
mstari wa mbele katika kusimamia masuala mtambuko...
Atakuwa anatokea Ukerewe huyu
ReplyDelete