Kuna kitu alikuwa anakishangaa.....!!!! "dUH NiNakipaji uspime kunisikia nikiimba!!"
Zoezi la kumsaka mwakilishi wa mkoa wa Mwanza limefanyika leo jijini hapa, jamaa huyu ambaye hakujulikana kuwa anatoka wapi, au wilaya gani au kisiwa gani jicho la kamera yetu lilimnasa toka eneo la usaili mlango wa Club Fusion hadi njia ya uelekeo wa barabara ya Makongoro - Airport na hapa alikuwa amefika eneo la jengo la Ofisi za CCM Mkoa. Sijui alifanikiwa????
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Atakuwa anatokea Ukerewe huyu
ReplyDelete