Toto Africans ya jijini Mwanza jana imetoka katika dimba lake la nyumbani ikiwa kifua mbele mara baada ya kuifunga Tanzania Prisons bao 1-0. Matokeo zaidi sikiliza taarifa ifuatayo iliyoruka ndani ya Sports Xtra Clouds Fm...Bofya play
![]() |
Mtanange ulikuwa wa vuta nikuvute Toto wakiongoza kwa kuwa na kosakosa nyingi mikwaju mingi ya wachezaji wake ikigonga mwamba wa goli la Prison kilawakati walipothubutu kulikaribia. |
![]() |
Mabadiliko kwa Tanzania Prisons. |
![]() |
Mashambulizi. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.