ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 5, 2013

HAPA NA PALE NA MJI WA KATORO GEITA

Mji wa Katoro bado uko kwenye mchakato wa kusambaza nguzo hatimaye umeme upatikane hivyo katika kipindi hiki umeme unaotumika ni wa jenereta na sola hivyo kuna wasambazaji binafsi wanaotoa huduma ya umeme kama unavyoona pichani juu nguzo zikipita toka upande mmoja wa barabara hadi upande mwingine.

Kwenye msafara wa mamba kenge nao wamo.

Uwekezaji katika sekta ya biashara.

Mnyamwezi Cafe.

Chadema ikiendelea kujiimarisha vijijini.

Chama banika....katikati ya muji.

Kama umevutiwa na unataka kuwekeza Katoro mkoani Geita, basi wasiliana na dalali huyo ili uwe na makazi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.