ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, January 26, 2013

MPIGA BASS WA MSONDO AFARIKI


Mpiga bass wa bendi kongwe nchini Msondo Ngoma 'Baba y a Muziki' , Ismail Mapanga  amefariki dunia  siku ya jumatano ya wiki hii katika hospitali ya Temeke.

Kwa mujibu wa kipindi cha Saturday Bonanza cha Clouds fm watangazaji wakiwa ni Suzzy Bartazar na Ben Kinyaiya taarifa zinasema kuwa Mapanga alianza kuumwa wakati bendi ikiwa safarini katika safari yao mkoani Tabora iliyofanyika hivi karibuni, taratibu za mazishi tayari zimekwisha fanyika.
Bofya play Sikiliza 
 

Mwenyezi Mungu ilaze mahali pema peponi roho ya marehemu, Amina. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.