![]() |
| Shabiki nambari moko.... |
![]() |
| Wataalamu mbalimbali kutoka ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilemela nao walialikwa kwenye kusanyiko hili kwaajili ya kutoa ufafanuzi wa utekelezaji pindi maswali yapapo tokea. |
![]() |
| Kwa utulivu kivulini wananchi wa kata ya Kitangili wakisikiliza mkutano. |
Tupe maoni yako









MIMI NI CCM LAKINI KITENDO ALICHOKAFANYA MEA NI CHA KIUNGWANA NIMEKUKUBALI MATATA HIZO NDIZO Sias
ReplyDelete