![]() |
| Moja ya kati ya majengo ya Walimu yaliyojengwa na Mh Lameck Airo, ambapo yote mawili yamegharimu kiasi cha shilingi Milioni 26 |
![]() |
| Mh Lameck Airo akipata Maelekzo |
![]() |
| Watoto wa shule ya Msingi Utegi wakipata Mlo shuleni hapo |
![]() |
| Watoto watundu... |
![]() |
| Mh Lameck Airo Mbunge wa Jimbo la Rorya akikagua Daraja lililojengwa kwa Ufadhili wake jimboni humo. |
![]() |
| Ukaguzi ukiendelea katika Daraja |
![]() |
| Moja ya Nyumba ya Walimu iliyojengwa na Mh Airo |
![]() |
| Wanafunzi wakijumuika na Mbunge wao kuelekea sehemu ya kusanyiko. |
![]() |
| Mh Lameck Airo akiweka saini katika kitabu cha Kumbukumbu |
![]() |
| Usikuvu ulikuwa 100 kwa 100 wakati mh. akiwapa somo wanafunzi wa shule ya msingi Utegi. |
George Marato,
From Mara,
Tanzania.
Tupe maoni yako











0 comments:
Post a Comment