![]() |
| Kilomita 10,000 na sutumuka za Twanga Pepeta. |
![]() |
| Mikogoz na Mashdida imo-mo... |
![]() |
| Safu ya mbele ya Wana-Wakutwanga na kupepeta ikiwajibika..... |
![]() |
| Mara dwaaaa....!!!!!! |
![]() |
| Mavijana ya kazi kutoka kushoto ni Dogo Rama aka Kilimita 10,000, Muumini Mwijuma, Namba mpya, Baba Diana Amigoras na Miraji Shakashia. |
![]() |
| Hapa Mwimbaji aliyerejea Band ya Twanga Pepeta akitokea Mapacha Watatu, Kalala Jurnior akiwaimbisha wana Mwanza ndani ya kiunga kipyaaaaa Jokers Live Pub. |
![]() |
| 'Profeshenale' Muumini Mwijuma bado ananyota kali..... |
![]() |
| Wadau wa burudani jijini Mwanza Rama Villa Park na mdogo wake. |
![]() |
| Kado Bass pale 'fronti' |
![]() |
| Semeni mnataka nini....?? |
![]() |
| Mkali asiyefunikika kwa akinadada muziki wa dansi nchini Luiza Mbutu 'Sauti ya Twanga' hapa alikuwa akitambulisha msanii mmoja baada ya mwingine kwa wapenzi wa burudani Mwanza Tanzania. |
![]() |
| Kalala kumbe ni mkali pia katika kukaanga chips. |
![]() |
| Ngoma ya kusugua kisigino inogile..... |
![]() |
| Shangwe mwanzo mwisho na wana Mwanza Kwanza. |
Tupe maoni yako















0 comments:
Post a Comment