![]() |
Hili ni banda la Kasuku (Africn Grey Parrot) mwenye jina la kisayansi Psittacus Erithacus mwenye uwezo wa kuishi miaka 50 hadi 70. |
![]() |
Mtaalamu wa banda la wanyama pori akicheza na chui. |
![]() |
Hili ni banda la simba. |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo akishuhudia simba anavyopata chakula yake ndani ya moja ya mabanda ya maonyesho viwanja vya nyamagana katikati ya jijini la Mwanza. |
![]() |
Mnyama simba akipata msosi wake... |
![]() |
Mtaalamu wa malisho kwa wanyama akimsihi simba huyo kutii amri zake na maelekezo... |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo akivinjari... |
![]() |
CEO wa blogu hii na banda la chui. |
![]() |
Manunuzi yakifanyika....Nipe jiko lileeee.... |
![]() |
Wadau kutoka nchini Uganda nao wako ndani ya Maonyesho haya. |
![]() |
Wawekezaji nao wamo.... |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.