ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 23, 2012

UZINDUZI WA SKYLIGHT BENDI ULIVYOBAMBA NDANI YA GIRAFFE OCEAN VIEW, DAR

 Mchekeshaji Steve Nyerere akiongoza jahazi la Skylight bendi huku pembeni akiwa ni mshreheshaji wa shughuli hiyo Beny Kinyaiya. Hii ilikuwa ni  katika uzinduzi wa bendi hiyo uliofanyika katika hoteli ya Graffe Ocean View jijini Dar.

Vijana wa vyombo kutoka Skylight bendi hawa ndiyo huwa wananogesha mambo yote.


Watu walijitokeza kwa wingi kuiunga mkono bendi yao.
Justine Ndege akiwa katika uso wa furaha.

Show Love nayo ilikuwepo.


Mchekeshaji Steve Nyerere akiwa na wanamuziki wa Skylight bendi wakiwasha moto.

Mwanamuziki Joniko Flawa akiwa na Mchekeshaji Steve Nyerere.


...haya twendeeeee
... jiachieeee kwa raha zako

Kulia... kushoto

Vimwana wa Skylight bendi wakionyesha umahili wao.

... Bwana Goodluck na mkewe wakishow love

Sam Machozi akimwaga burudani

.. ahaaaaaaaaaaaaaaaaaa

. eeeeeeeeeh..
Jonoko Fla
wa akimwaga mauno mbele ya wadau.

Uongozi mzima wa Skylight bendi ukifuatilia.

 u-Eeeeeeeeh.....

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.