ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 24, 2012

TANZANIA MUAY-THAI ACADEMY OF COMBAT

WKF TANZANIA has new leader ship. Kuanzia 3-9 may 2012 NIMESHIRI KWA MARA YA PILI 2011 .IFMA .WMC. Terhan Iranian kwenye mashindano ya dunia. Muay-thai world competitions cup SPORT AND PEACE .tulikua nchi 51 akiwemo Tanzania.
Dar es salam Tanzania, with immediate effect we have a new WKF office in Tanzania. Our new WKF TANZANIA president is Mr. Emmanuel SHIJA. He is expert in Muay Thai and leader of “Tanzania Muay Thai academy” in Daressalam.

This is the biggest City in Tanzania, located on the Indian Ocean. Soon we will see the professional fighters of Tanzania in the World ranking. Mr. Shija confirmed also the participation of the team in the World Championship in Varazdin, Croatia in July.
Emmanuel SHIJA wa pili kutoka kushoto akiwa na wapiganaji wenzake kabla ya kupanda ulingoni katika mashindano ya Muay thai academy of combat yaliyokua yakifanyika nchini Iran hivi karibuni.

Emmanuel SHIJA akiwa na shabiki wake baada ya kupigana nchini irani hivi karibuni.
Na. Super Boxing Coach.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.