Mfanyakazi wa Radio Clauds FM, Said Mohamed 'Said Bonge' akipanda migomba kwenye mashimo ya barabara ya Mwananyamala Hospitali Dar es Salaam leo huku gari likipiata kando yake. Bonge alisema amechukua uwamuzi huo baada ya wahusika kushindwa kuyafukia mashimo hayo ambayo yamekuwa yakileta usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Said Bonge akiendelea na shughuli ya kupanda migomba katika barabara ya Mwananyamala ambayo imeharibika vibaya huku wahusika wakiifumbia macho bila kuchukua hatua zozote za kuikarabati. PICHA/HABARI na full shangwe
Nimeipenda hii....keep it up bonge,hawa jamaa mpaka washtuliwe ndo wanafanaya kazi,tunalipia road licence kwenye barabara mbovu mno,yani hayo mashimo ya Mwananyamala ukikanyaga gari unaacha tairi zima,jamaaa wa jiji wapo tu wala hawajali
Hizi ndizo barabara 6 za ajabu zaidi duniani
-
Duniani kuna barabara za kawaida, lakini nyingine ni za kuvutia sana au za
kushangaza kiasi kwamba zimekuwa zaidi ya muunganisho rahisi kati ya sehemu
A na...
Chukua Mkwanja Wako Mapema Leo
-
HATIMAYE baada ya jana kushuhudia mechi kibao zikipigwa na matokeo mengine
yakiwa yakustaajibisha, leo hii ni zamu tena ya wababe wengine kibao
uwanja...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
Nimeipenda hii....keep it up bonge,hawa jamaa mpaka washtuliwe ndo wanafanaya kazi,tunalipia road licence kwenye barabara mbovu mno,yani hayo mashimo ya Mwananyamala ukikanyaga gari unaacha tairi zima,jamaaa wa jiji wapo tu wala hawajali
ReplyDelete