ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, April 2, 2012

TWANGA PEPETA WALIPO TIKISA ROCK CITY

Mkurugenzi wa Aset Entertainment Asha Baraka akimtambulisha mgeni rasmi wa uzinduzi wa Twanga Mwanza, Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja uliofanyika Villa Park.

Mtoto wa nyumbani Dogo Rama aliyejiunga na Twanga akitokea Mwanza Carnival Band akituzwa na Dulla.

Wakali majembe ukweli Twanga Pepeta, Luiza Mbutu na Amigoras.

Mwana wa nyumbani Haji Ramadhani alitumia fursa yake kikamilifu kutoa shukurani zake kwa watu wake wa nyumbani kumpigia kura hata akaibuka kinara BSS.

Ze utamuuuu.

Dadazz wa Twanga na 'visigino'..

BrazazZz.

Dansi la Twanga.

Kutoka kushoto ni Dj Maliz, Mkali wa bongo Fleva Dudu Baya na G.Sengo, burdanini.

Mauno mauno...

Handsome boy.

Dj Maliz, Dj John, Dudu Baya na G. Sengo.

mwimbaji wa Twanga Pepeta Dogo Rama akishirikiana kwenye kiitikio na watangazaji wa Star Tv Muhksin Mambo (C) na Ben 'Star' jamaa walienda nae sambamba kinomanoma.

Rapa wa Twanga na flash ya www.gsengo.blogspot.com

Mazingira ya Jiografia na stage la Twanga Pepeta at Villa Park Mwanza usiku wa Ijumaa mwishoni mwa wiki.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.