Bondia Selemani Galile (L) akipambanma na Tomasi Mashari 'Simba' (R) wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa uliofanyika Dar es Salaam jana Mashari alishinda kwa pointi na kunyakua ubingwa.
Chekshia hapa...imefika penyewe hiyo.
The man him self Selemani Galile na mkanda wake.
Shangwe zikiendelea kurindima Bondia Tomasi alipata flash ya pamoja na wadau wake akiwemo mwanamuziki mahiri katika muziki wa Bongo fleva kona ya Hip Hop Profesa Jay. .(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
0 comments:
Post a Comment