Bondia Selemani Galile (L) akipambanma na Tomasi Mashari 'Simba' (R) wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa uliofanyika Dar es Salaam jana Mashari alishinda kwa pointi na kunyakua ubingwa.
Chekshia hapa...imefika penyewe hiyo.
The man him self Selemani Galile na mkanda wake.
Shangwe zikiendelea kurindima Bondia Tomasi alipata flash ya pamoja na wadau wake akiwemo mwanamuziki mahiri katika muziki wa Bongo fleva kona ya Hip Hop Profesa Jay. .(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.