ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, April 10, 2012

TOMASI AMCHAKAZA GALILE KWA POINTI NA KUNYAKUWA UBINGWA WA TAIFA

Bondia Selemani Galile (L) akipambanma na Tomasi Mashari 'Simba' (R) wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa uliofanyika Dar es Salaam jana Mashari alishinda kwa pointi na kunyakua ubingwa.

Chekshia hapa...imefika penyewe hiyo.

The man him self Selemani Galile na mkanda wake.

Shangwe zikiendelea kurindima Bondia Tomasi alipata flash ya pamoja na wadau wake akiwemo mwanamuziki mahiri katika muziki wa Bongo fleva kona ya Hip Hop Profesa Jay.
.(Picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.