ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, April 10, 2012

KWAHERI STEVEN KANUMBA TUONANE PARADISO

Mamia ya wananchi kutoka pande mbali za jiji la Dar es Salaam leo walilazimika kutembea umbali mrefu kwa miguu kwenda kutoa heshma zao za mwisho kwa msanii huyo aliyejizolea sifa nyingi katika sanaa hiyo na wengi kuipenda na kuiheshimu kazi yake.
Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu akitoa heshima za mwisho.

Mwili wa Marehemu Steven Kanumba ukiwa umekwishawasili kwenye viwanja vya Lidaz Club,Kinondoni jijini Dar mapema hii asubuhi tayari kwa watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali kuanza kuuaga mwili.

There is a special choir for the event.. na ndiyo aliyokuwa akihudumu marehemu enzi za uhai wake.

There are so many people...

So many people are already at Leaders Club,and other keep coming!!

The area..

This is Steven Kanumba's casket as it arrives at Leaders Club

Personally,i thank the government for its involvement,esp to provide security.

There are security men everywhere!!

Red Cross are having a hard time today...if you want to volunteer,please show up at Leaders Club,NOW...

Wadau wa msalaba mwekundu wakitoa msaada kwa mwananchi aliyezirai viwanjanihapo.

Baadhi ya wageni na viongozi waalikwa.
Mwili ukielekea mazikoni.
Picha Zote kwa hisani ya Mitandao mbalimbali.i.e Issa Michuzi, Miss Popular Blog, DjChoka Blog, Bongocelebrity.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.