Kundi la msanii John Lisu likitumbuiza live jukwaani.
Sehemu ya watu waliojitokeza kushuhudia Tamasha la Pasaka 2012,
Solomon Mukubwa na memba wake akiwapungia mkono wananchi.
Vinara wa muziki wa injili wakiingia eneo la tukio Uwanja wa Taifa huku wakitabasamu,kutumbuiza tamasha la pasaka 2012,kulia ni Christina Shusho, Upendo Kilahilo pamoja na Upendo Nkone wakiwa na watoto wao..
Msanii wa muziki wa injili, Rose Muhando wakati akiwasili Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kutumbuiza katika Tamasha la Pasaka la kwanza ambapo kesho shughuli nzima itaelekea katika mji wa Dodoma...
Cheza ndani ya Yesu...
Msanii wa Muziki wa Injili kutoka Afrika Kusini, Rebecca Malope (katikati), akiwa upande wa vyombo vya muziki kuweka mambo sawa muda mfupi kabla ya kupanda jukwaani.
Ni raha tele....
Furaha inapozidi huna budi kusimama kuimba na kucheza....
Alhamis ya Kitajiri na Meridianbet Imefika
-
NI siku nyingine kabisa ya Alhamisi ambapo leo hii tutaenda kushuhudia Nusu
Fainali za pili za Europa League na Conference huku Meridianbet wakiweka
o...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
it was really a blessing.....nilibarikiwa sana
ReplyDelete