Kundi la msanii John Lisu likitumbuiza live jukwaani.
Sehemu ya watu waliojitokeza kushuhudia Tamasha la Pasaka 2012,
Solomon Mukubwa na memba wake akiwapungia mkono wananchi.
Vinara wa muziki wa injili wakiingia eneo la tukio Uwanja wa Taifa huku wakitabasamu,kutumbuiza tamasha la pasaka 2012,kulia ni Christina Shusho, Upendo Kilahilo pamoja na Upendo Nkone wakiwa na watoto wao..
Msanii wa muziki wa injili, Rose Muhando wakati akiwasili Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kutumbuiza katika Tamasha la Pasaka la kwanza ambapo kesho shughuli nzima itaelekea katika mji wa Dodoma...
Cheza ndani ya Yesu...
Msanii wa Muziki wa Injili kutoka Afrika Kusini, Rebecca Malope (katikati), akiwa upande wa vyombo vya muziki kuweka mambo sawa muda mfupi kabla ya kupanda jukwaani.
Ni raha tele....
Furaha inapozidi huna budi kusimama kuimba na kucheza....
WAZIRI MKUU AZINDUA ALBINO MOBILE APP
-
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa
amezindua 'Albino Mobile App' ambayo ni program ya simu janja
itakayowezasha usajili na...
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
it was really a blessing.....nilibarikiwa sana
ReplyDelete