...Mpambano ulikuwa ni mzuri sana hasa kipindi cha pili ambapo Simba walijipatia mabao 2 kupitia wachezaji wao Emmanuel Okwi na Haruna Moshi 'Boban'
Mtafutano ndani ya game..
Hatari katika lango la Simba
Ubinadamu kazi...
Mashabiki wa kumwaga
Mkurungunzi wa PrimeTime Promotions, Godfrey Kusaga akiongea na mwenyekiti wa Simba Ismail Aden Rage huku wakihakikisha mambo yanaenda sawa na mashabiki wanaingia bila matatizo.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.