Castor Dickson aka Mwananchi wa kawaida ambaye ni presenter wa program ya SIZ KITAA inayorushwa na CLOUDS TV akifanya kipindi pembezoni mwa mti wa kumbukumbu ambao ulikuwa ukitumika kunyongea watu enzi za ukoloni.
Hapa SIZ KITAA ilikuwa na Mwenyekiti wa Mwanza Kwanza Philbert Kabago ambaye pia ni presenter wa Michano time katika Radio Passion Fm.
Topix...
Kuna mengi mazuri yameonekana na kuzungumzwa na SIZ KITAA toka wadau wa Rock City hadi safari ilipofika tamati, so kufaidi yote mazuri 'Tega jicho' kwa liprogram la SIZ KITAA kila siku saa moja na robo CLOUDS TV....Walaaaa!!!
SAKATA LA WANAFUNZI KUMGOBEA MWIJAKU LATUA KISUTU
-
HATIMAE wale, mwanafunzi watatu wanaodaiwa kumdhalilisha mwenzao ambae ni
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Ardhi, Dar es Salaam Magnificat Kimario
wamefikishw...
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.