Jamaa anapiga mzigo kwenye moja ya daladala kama kondakta ambapo yeye kuoga ni inshu kiasi kwamba harufu ya mwili wake imekuwa ni kero kwa abiria na marafiki wanaomkaribia, si kwa mwili tu hata mavazi jamaa ana katabia ka kuvaa nguo mbili mbili hivyo kama daladala ni mbanano lazma utaondoka na shombo lake, hapa wadau wakaona si hasara wamfunge kamba akaoge kwa lazima.....
Tukio limetokea Nyakato Buzuruga karibu na kituo cha mabasi yaendayo njia ya Musoma, sasa hapa alibebwa mzobemzobe kuelekea mtoni kwa waosha magari na kuogeshwa kisha akapewa sabuni kufua nguo zake.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.