

Cardiff walifungua mlango kupitia Joe Mason na kulinda lango lao vyema hata baada ya Martin Skrtel kusawazisha.
Dirk Kuyt alidhani ameipatia ushindi Liverpool katika kipindi cha ziada lakini Ben Turner alisawazisha katika dakika ya mwisho ya kipindi cha ziada.

Dalglish anasema ushindi wa Liverpool ni hatua ya mwanzo tu katika safari ndefu ya kuirejeshea klabu hiyo hadhi yake ya jadi ya kutawala kandanda Uingereza.
Chanzo bbc swahili
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.