ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, January 10, 2012

KATI YA HAWA.... UNAMUAMINI YUPI ZAIDI?

Unaowaona pichani, wote ni wanasiasa. Wote ni vijana. Nape Nnauye(kushoto katika picha) ni Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM )anayesimamia Itikadi na Uenezi.Kulia ni Mh.John Mnyika(MB) ambaye ni Mkuu wa Habari na Uenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Kazi zao zinafanana. Wanaongea na sisi tunawasikiliza. Wanaeneza itikadi na kunadi sera za vyama vyao.

Lakini suala la siasa ni imani.Unaamini kwamba anachokisema yule ni cha kweli na anayo dhamira nzuri kuhusu maendeleo yangu. Sasa wanaposimama hawa wawili kuongea, unamwamini yupi zaidi? Ni kitu gani kinachokufanya umwamini zaidi huyo unayemwamini? Tungependa kupata maoni yako.

NB: Vipima joto hivi vya BC,ni sehemu ya kuhakikisha kwamba viongozi na wananchi wanajua wapi wanaposimama au wanapobidi kusimama kila wakati na sio wakati wa uchaguzi tu.

PATA UHONDO ZAIDI TEMBELEA
http://bongocelebrity.com

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. umemshusha sana mnyika kumlinganisha na huyo. Mnyika namuani

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.