
Henry, 34, alifunga goli lake la 227 kwa Arsenal baada ya kurejea kuichezea klabu hiyo kwa mkopo wa miezi miwili.
Arsenal sasa itakutana na Aston Villa katika raundi ya nne ya kombe la FA katika mchezo utakaochezwa Januari 28.

"It didn't surprise me that he scored tonight but when he was through on goal I thought his angle was a bit too close. "But he didn't force his shot and still made it look easy. That was the special finishing of Thierry Henry that we all know."
Arsenal wamesonga mbele baada ya kupata ushindi wa bao 1-0.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.