ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, December 4, 2011

ROCK BOTTOM YAZINDULIWA MWANZA

Consolting Manager wa Gold Crest Hotl inayomiliki Rock Bottom Club Mr. Ben Mwangi akikaribisha wadau wa burudani waliotinga shimoni humo kwa mara ya kwanza kula raha.

Mkurugenzi wa uendeshaji Gold Crest Mr. akitambulisha safu ya wafanyabiashara ambao ni wadau wa wa Rock Bottom Club iliyopo eneo la chini ndani ya Hoteli ya kitalii ya Gold Crest jijini Mwanza.

Dj Denis (L) na Mr. Joseph Mangapi, utambulishoni.

Miss Tz Genevive na warembo wenzake nao walikuwepo...

'Its ON'

Waweza ng'amua ni nani huyu?

Kutoka kulia Dj Maliz, Mc. Stoper, G, Meneja wa Burudani Villa Park Rama na Mashkaji.

Wadau namba moko wa blogu hii nao walichoma ndani.

Kutoka Left Philly Kabago toka Passion Fm, Nzali toka Afya Radio na 'flowers wake' wakipata Flash.

Dj Denis mtamboni akikisanukisha.

Friendz'''

"Umesema ya baridi?" mambo ya kaunta.

Yes we are!

Mfanyabiashara maarufu nchini Papaa King (With Light Blue Shirt) na wageni wake.

Mwonekano wa Rock Bottom.

You are most welcome to Rock Bottom Club Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.