Lunch ya leo imepigwa maeneo ya Nyakato pembezoni mwa bar za stendi ya basi ya Buzuruga (Mwanza) njia kuelekea Musoma mkoani mara, mezani kumetanda ugali aina mbili, ugali mweupe wa mahindi na ugali wa mtama uliochanganywa na muhogo aka 'udaga' pembeni nyama choma, matunda na kichuri (hapa watu wa Mara nisaidieni ni mchanganyiko wa nini na nini..)
Chukua Mkwanja Wako Mapema Leo
-
HATIMAYE baada ya jana kushuhudia mechi kibao zikipigwa na matokeo mengine
yakiwa yakustaajibisha, leo hii ni zamu tena ya wababe wengine kibao
uwanja...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.