ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, August 10, 2011

HAYA HAYA KWA WATEMBEAO... KAMA MIMI

Shimo hili lililo tengenezwa na wazee wa vyuma chakavu na kuwa shimo la hatari, lisilo kuwa na vielelezo vya tahadhari liko sehemu ya biashara lenye mapito kwa watu waaina mbalimbali katikati ya jiji la Mwanza eneo la salma cone. Kazi kwetu tutembeao kwa kukariri mazingira tukisoma magazeti na wavijimeseji vya fesi buku hala hala shimo na mguu...!! Dah huruma sipati picha kwa ndugu zangu wasioonana wenye uono hafifu..
AaaaaH! wahusika TAHADHALI .

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.