Ni shindano la kucheza Aladji' ndani ya Club House ndani ya msimu wa Dhahabu na Fiesta 2011 musoma mjini ambapo zawadi za kutosha zilimwagwa kwa akina dada.
Mtamboni kasimama Dj. Abuu.
Baadae wakachambuliwa na kubaki wachache.. Ushindi unasakwa..watuwamejipanga ile kinyama.
Mzuka Ulishapanda hatimaye zawadi nyingi tena nzito nzito zilitolewa kwa akina dada haswa kwa washindi wa kurudi mangoma.
Baada ya sekta ya kwanza kukamilika.. Ilikuwazamu ya baba jonii kuchanwa na kijana huyu kihipopU'....
WAACHENI WATOTO WAENDE SHULE- RAIS SAMIA
-
Na John Mapepele -OR TAMISEMI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan
amewataka wazazi nchini kuwaachia watoto wa kike kus...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.