Ni shindano la kucheza Aladji' ndani ya Club House ndani ya msimu wa Dhahabu na Fiesta 2011 musoma mjini ambapo zawadi za kutosha zilimwagwa kwa akina dada.
Mtamboni kasimama Dj. Abuu.
Baadae wakachambuliwa na kubaki wachache.. Ushindi unasakwa..watuwamejipanga ile kinyama.
Mzuka Ulishapanda hatimaye zawadi nyingi tena nzito nzito zilitolewa kwa akina dada haswa kwa washindi wa kurudi mangoma.
Baada ya sekta ya kwanza kukamilika.. Ilikuwazamu ya baba jonii kuchanwa na kijana huyu kihipopU'....
Kwa nini ni vigumu kutabiri matetemeko ya ardhi?
-
Matetemeko ya ardhi 100,000 yanahisiwa kutokea duniani kote kila mwaka, kwa
mujibu wa Huduma ya Jiografia ya Marekani (USGS), lakini kuyatabiri imekuwa
vig...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.