Ni shindano la kucheza Aladji' ndani ya Club House ndani ya msimu wa Dhahabu na Fiesta 2011 musoma mjini ambapo zawadi za kutosha zilimwagwa kwa akina dada.
Mtamboni kasimama Dj. Abuu.
Baadae wakachambuliwa na kubaki wachache.. Ushindi unasakwa..watuwamejipanga ile kinyama.
Mzuka Ulishapanda hatimaye zawadi nyingi tena nzito nzito zilitolewa kwa akina dada haswa kwa washindi wa kurudi mangoma.
Baada ya sekta ya kwanza kukamilika.. Ilikuwazamu ya baba jonii kuchanwa na kijana huyu kihipopU'....
Benki ya Absa Tanzania yang'ara tuzo za NBAA
-
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia),
akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha...
Benki ya Absa Tanzania yang'ara tuzo za NBAA
-
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia),
akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha
ka...
0 comments:
Post a Comment