Ni shindano la kucheza Aladji' ndani ya Club House ndani ya msimu wa Dhahabu na Fiesta 2011 musoma mjini ambapo zawadi za kutosha zilimwagwa kwa akina dada.
Mtamboni kasimama Dj. Abuu.
Baadae wakachambuliwa na kubaki wachache.. Ushindi unasakwa..watuwamejipanga ile kinyama.
Mzuka Ulishapanda hatimaye zawadi nyingi tena nzito nzito zilitolewa kwa akina dada haswa kwa washindi wa kurudi mangoma.
Baada ya sekta ya kwanza kukamilika.. Ilikuwazamu ya baba jonii kuchanwa na kijana huyu kihipopU'....
Vita vya Iran vyachangia kupanda kwa bei ya kondomu
-
Kampuni ya Carix, mojawapo ya kampuni kubwa ambazo hutengeneza mipira ya
kondomu, imetangaza kuwa itaongeza bei ya bidhaa hizo kwa 30% au zaidi
iwapo vita ...
WAZIRI MKUU: TUEPUKE MIGOGORO NA MIZOZO
-
-Asema kuna miradi inakwama utekelezaji sababu ya migawanyiko
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka viongozi wa Mamlaka za Serikali
za Mitaa waepuke m...
0 comments:
Post a Comment