Adam Mchomvu aka Baba Jonii, ni Fiesta 2011 ndani ya uwanja wa Karume Musoma mjini, watu wamejitokeza vya kutosha, swagga zimetyuniwa vya kutosha wazawa na wageni wamependeza ile kinowma yaani safiii.
Ngosha The Swagga Don amepiga show ya ukweli si kitoto..
Sajna wa Iveta
Kwa afya zetu.com sekta ilikamilika.
Ni nani huyu aliyebahatika kucheza na mwanadada Dayna?
Kutoka mkoani morogoro naikiwa ni mara yake ya kwanza kupiga show kwa wakazi wa Mara msanii Linex, alipata shangwe za kutosha kiasi cha kuurudia mara mbili wimbo wake wenye kibwagizo 'Kama ningeweza kuzirudisha siku nyuma..'
Si hip hop pekee bali hata Dansi za kiafrika Sheta anazimudu kinomanoma.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.