Kiungo wa katikati wa timu ya Simba Mohamed Banka akiachia shuti kali kuelekea langoni mwa timu ya Bunamwaya huku Ronard Seku akijaribu kuuzuia mpira huo bila mafanikio. Hadi mwisho Simba 2, Bunamwaya 1. Kwaushindi huo Simba imesonga mbele hatua ya nusu fainali.
Mashabiki wa timu ya Simba wakiwatukana waamuzi wa mchezo huo wakati timu zikienda mapumziko wakilalamikia uchezeshaji kwa madai kuwa ni wa upendeleo. Picha kwa hisani ya Michuzi.
Madini ya Uraniam kuanza kuzalisha umeme
-
*Profesa Msambichaka aweka umuhimu wa umeme wa Nyuklia.
Na Chalila Kibuda,Michuzi TV
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imesema kuwa katika mikakati ya...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
Hongera Simba, haya jipangeni tena vizuri ili mechi ijayo pia mtupe raha watanzania. Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania Amen!!
ReplyDelete