ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, July 5, 2011

SIMBA YAIBENJUA BUNAMWAYA 2-1 NA KUTINGA NUSU FAINALI KAGAME CASTLE CUP

Kiungo wa katikati wa timu ya Simba Mohamed Banka akiachia shuti kali kuelekea langoni mwa timu ya Bunamwaya huku Ronard Seku akijaribu kuuzuia mpira huo bila mafanikio. Hadi mwisho Simba 2, Bunamwaya 1. Kwaushindi huo Simba imesonga mbele hatua ya nusu fainali.

Mashabiki wa timu ya Simba wakiwatukana waamuzi wa mchezo huo wakati timu zikienda mapumziko wakilalamikia uchezeshaji kwa madai kuwa ni wa upendeleo.

Picha kwa hisani ya Michuzi.

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. Hongera Simba, haya jipangeni tena vizuri ili mechi ijayo pia mtupe raha watanzania. Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania Amen!!

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.