Kiungo wa katikati wa timu ya Simba Mohamed Banka akiachia shuti kali kuelekea langoni mwa timu ya Bunamwaya huku Ronard Seku akijaribu kuuzuia mpira huo bila mafanikio. Hadi mwisho Simba 2, Bunamwaya 1. Kwaushindi huo Simba imesonga mbele hatua ya nusu fainali.
Mashabiki wa timu ya Simba wakiwatukana waamuzi wa mchezo huo wakati timu zikienda mapumziko wakilalamikia uchezeshaji kwa madai kuwa ni wa upendeleo. Picha kwa hisani ya Michuzi.
VIONGOZI WA CCM KATIKA PICHA Z’BAR
-
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, ambaye pia ni Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi,
aki...
Mchezo wa Kasino Mafia Clash Ushindi Mkononi
-
TUNAKULETEA mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino
zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye
mizunguko ...
Mchezo wa Kasino Mafia Clash Ushindi Mkononi
-
TUNAKULETEA mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino
zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye
mizunguko ...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
Hongera Simba, haya jipangeni tena vizuri ili mechi ijayo pia mtupe raha watanzania. Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania Amen!!
ReplyDelete