ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, July 4, 2011

SERENGETI FIESTA SHINYANGA ILIVYOKUWA..

Pamoja na kuwa imekuwa chance yake ya kwanza kanda ya ziwa mchizan amekubalika kwa kushuka kiudiferenti zaidi, densi kali, mashairi taiti...yani nowma!.

Huyu ndiye yule Mc ambaye pia ni Prizenta...Eyo Mchomvu! akitupia pale kati kitu cha baba Jonii

Vipaji toka Shy Town pia vilipata nafasi kulikwea jukwaa.

Zamu ya Sajna sasa kulibeng'isha.

Mwasiti...

Wadau wa Shy Town na raha zao.

Mh. Temba akiimbisha..

Hawa jamaa kila walichokuwa wakigusa kiligeuka dhahabu kwa kupata shangwe za kutosha..

Aisee fundi, niongezee tafadhali!

Ndani ya mmimino kitu cha Serengeti....

Mahudhurio.

Moja kati ya watangazaji wa Jahazi Wasiwasi Mwabulambo (wa3 kutoka shoto) akiwa na wadau wa JAHAZI Shy Town.

Engo

Mtangazaji wa Faraja Fm Shinyanga Emmanuel S. Msigwa (shoto) na mshkaji wake.

Peace!! Wasiwasi huyoooo akisepa!

Shughuli iliisha kwa mbinde.. Huku wakiimba 'NGOSHAaaaa!! NGOSHAaaa!!' wakazi wa Shinyanga walikataa kata kata kuondoka eneo la tukio mara baada ya muda kuisha wakilazimisha 'Ngosha The Don' aendelee kutema madini kwenye stage, ilibidi polisi waingilie kati kumwondosha eneo la tukio.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.