Tupe maoni yako
Basi Lapinduka Mikumi 57 wanusurika, 13 Wajeruhiwa
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Charles Hirali Msangi (34)
kwa tuhuma za kusababisha ajali iliyosababisha abiria 57 kunusurika kifo
katika e...
2 hours ago
Duh! kaka G ki ukweli bado tunamhitaji huyu jamaa hapa Mwanza ila basi tena ila sijaipenda hii. Jamaa mpiganaji huyu pia mpenda haki. Namtakia kila la kheri huko aendako ila katukomeshea ujambazi Mkoa wa Mwanza kweli tutamkumbuka daima. Sasa ujambazi utarudi kwa kasi ya ajabu.
ReplyDeleteSasa kuhamishwa kwake ni kwa heri au ni hujuma!! kweli hakuna haki duniani.