ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, July 24, 2011

BREAKING NEWS: KAMANDA SIRRO AHAMISHWA MWANZA NAFASI YAKE KUSHIKWA NA BAROW LYIMO

Kamanda wa Mkoa wa Mwanza mpiganaji, Simon Sirro amehamishwa na sasa anakwenda makao makuu ya jeshi la Polisi nchini kushika nafasi ya Venance Tossi kuendesha kikosi cha Oparesheni Maalum. Mabadilio hayo yameanza sasa na nafasi yake itashikwa na Kamanda mkoa wa Tabora Barow Lyimo.

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. Duh! kaka G ki ukweli bado tunamhitaji huyu jamaa hapa Mwanza ila basi tena ila sijaipenda hii. Jamaa mpiganaji huyu pia mpenda haki. Namtakia kila la kheri huko aendako ila katukomeshea ujambazi Mkoa wa Mwanza kweli tutamkumbuka daima. Sasa ujambazi utarudi kwa kasi ya ajabu.

    Sasa kuhamishwa kwake ni kwa heri au ni hujuma!! kweli hakuna haki duniani.

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.