Tupe maoni yako
TEMDO YABUNI MTAMBO MPYA WA KUCHAKATA MIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA SUKARI
-
*SHIRIKA la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) limebuni, kusanifu
na kutengeneza mtambo wa kuchakata zao la miwa ili kupata sukari kwa
kiwan...
3 hours ago
Duh! kaka G ki ukweli bado tunamhitaji huyu jamaa hapa Mwanza ila basi tena ila sijaipenda hii. Jamaa mpiganaji huyu pia mpenda haki. Namtakia kila la kheri huko aendako ila katukomeshea ujambazi Mkoa wa Mwanza kweli tutamkumbuka daima. Sasa ujambazi utarudi kwa kasi ya ajabu.
ReplyDeleteSasa kuhamishwa kwake ni kwa heri au ni hujuma!! kweli hakuna haki duniani.