Tupe maoni yako
Je, mvutano kati ya Israel na Iran umeisha (kwa sasa) baada ya mashambulizi
ya pande zote mbili?
-
Saa chache baada ya vyombo vya habari vya Marekani kuripoti shambulio la
moja kwa moja la Israel dhidi ya Iran, bado tunapokea taarifa zinazokinzana
kutoka...
37 minutes ago
Duh! kaka G ki ukweli bado tunamhitaji huyu jamaa hapa Mwanza ila basi tena ila sijaipenda hii. Jamaa mpiganaji huyu pia mpenda haki. Namtakia kila la kheri huko aendako ila katukomeshea ujambazi Mkoa wa Mwanza kweli tutamkumbuka daima. Sasa ujambazi utarudi kwa kasi ya ajabu.
ReplyDeleteSasa kuhamishwa kwake ni kwa heri au ni hujuma!! kweli hakuna haki duniani.