Tupe maoni yako
DC SAME ASISITIZA JAMII KUWAJALI WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU..
-
NA WILLIUM PAUL, SAME.
WANANCHI wamesisitizwa kujijengea utamaduni wa kuwakumbuka na kuwajali
watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa kuwapatia msa...
34 minutes ago
Duh! kaka G ki ukweli bado tunamhitaji huyu jamaa hapa Mwanza ila basi tena ila sijaipenda hii. Jamaa mpiganaji huyu pia mpenda haki. Namtakia kila la kheri huko aendako ila katukomeshea ujambazi Mkoa wa Mwanza kweli tutamkumbuka daima. Sasa ujambazi utarudi kwa kasi ya ajabu.
ReplyDeleteSasa kuhamishwa kwake ni kwa heri au ni hujuma!! kweli hakuna haki duniani.