Tupe maoni yako
Nchi zinazoongoza kwa rushwa Afrika, Tanzania iko wapi?
-
Kati ya nchi 49 za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, ni nchi 4 tu pekee
ambazo zimeonyesha kuwa na uwazi au uadilifu wa wastani au juu (alama zaidi
ya 50...
25 minutes ago
Duh! kaka G ki ukweli bado tunamhitaji huyu jamaa hapa Mwanza ila basi tena ila sijaipenda hii. Jamaa mpiganaji huyu pia mpenda haki. Namtakia kila la kheri huko aendako ila katukomeshea ujambazi Mkoa wa Mwanza kweli tutamkumbuka daima. Sasa ujambazi utarudi kwa kasi ya ajabu.
ReplyDeleteSasa kuhamishwa kwake ni kwa heri au ni hujuma!! kweli hakuna haki duniani.