Tupe maoni yako
ORYX GAS TANZANIA YAKABIDHI MITUNGI YA GESI 100 NA MAJIKO YAKE KWA WAHARIRI
NA WAANDISHI WA HABARI DAR
-
* wahimizwa kuendelea kuhamasisha wananchi kupitia kalamu zao juu ya
umuhimu wa kutumia nishati safi ya kupikia ya Oryx na kuachana na nishati
chafu
Lea...
2 hours ago
Duh! kaka G ki ukweli bado tunamhitaji huyu jamaa hapa Mwanza ila basi tena ila sijaipenda hii. Jamaa mpiganaji huyu pia mpenda haki. Namtakia kila la kheri huko aendako ila katukomeshea ujambazi Mkoa wa Mwanza kweli tutamkumbuka daima. Sasa ujambazi utarudi kwa kasi ya ajabu.
ReplyDeleteSasa kuhamishwa kwake ni kwa heri au ni hujuma!! kweli hakuna haki duniani.