'Amplifaya Man' Millard Ayo na Camera man P.Diddy wa Clouds Tv wakitembeza macho kuzivinjari fukwe za ziwa Victoria toka mjengo wa Malaika Hotels Mwanza.
Millard Ayo na G. Sengo
Millard na Philbert Kabago wa Passion FM
Hapa ni Millard Ayo, G.sengo na Producer Kid Bway wa Tetemesha Production.
Kutana na memba walio chini ya Tetemesha...Sajna,...,....
Kosha na mwonekano/taswira ya usiku.
Watangazaji toka star Tv Husna Mlanzi na Fatma Shemweta nilipo wafuma katika Club Villa Mwanza.
Wadau Toka Sahara Communication na wikiendi zao.
David wa Majour Drill. Mwanza kunamaeneo mengi yenye vivutio vya utulivu kwa nafsi, jana j2 wazee wa Mwanza walinidondoshwa eneo moja linaitwa Ibanda Ziwani mahala zichomwapo nyama na supu tamu kuliko zote duniani.
Brother Jackson wa Majour Drill.
Hapa wadau wakipata mishaki na miminamimina zao'' Najua mnamaswali mengi ya Panaitwaje? Tuliza ball - Bado panatafutiwa jina..
Washkaji wa Rock City katika pozi la 'pamoko' Club Lips (picha hii na The big top ten).
TAARIFA KWA UMMA
-
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian
Makonda kwa kushirikiana na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo
wa
Za...
Serval Watoa tamko baada ya kifo cha mtalii Ashley
-
*Dar es Salaam/Zanzibar*
*Kituo cha wanyamapori cha Serval Wildlife kimetoa tamko rasmi kufuatia
taarifa za kifo cha mwanahabari na mtengeneza maudhui mta...
0 comments:
Post a Comment