Shughuli ndiyo hivyoo imeiva na wageni mbalimbali sambamba na washereheshaji wanazidi kumiminika jijini Mwanza pichani mkali wa hip hop bongo Mwanafalsafa akitinga Mwanza tayari kwa Show ya Serengeti Fiesta itakayo fanyika jumapili hii kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, Nasi tukitinga kwa kiingilio cha shilingi 5,000 tu.
Chiddy Benz nae huyoo akiwa na mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho Clouds Fm Lovenes love.
Mwana hip-hop Prof J nae ameonekana akiwa mwenye furaha mara baada ya kutua uwanja wa ndege Mwanza kutokea jijini Dar es salaam kwaajili ya shughuli za Fiesta.
Sakafu ya jukwaa. Wasanii wengine wanaotarajiwa kuperform siku hiyo ni pamoja na Mataluma, Barnaba, Linah, Godzillah, Sajna, Diamond, Recho, Makomandoo, Chriss Wamalya, Fid Q na mkali wa muziki wa Dancehall, Ragga & Reggae - Shaggy.
NB: Kuanzia saa sita kamili mchana kila nusu saa droo itachezeshwa na mshindi kujinyakulia kitita cha shilingi laki tano taslimu, zoezi hilo la zawadi litadumu hadi itakapotimu saa nane mchana "CHANGAMKIA MZIGO HUO MWANAWANE"
TAMASHA LA ZIFF KURINDIMA JUNI 25-29 ZANZIBAR
-
* Filamu 430 zapokelewa kutoka Nchi za Afrika, Ulaya……
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MAANDALIZI ya Tamasha la Kimataifa la Filamu la Zanzibar (ZIFF,) m...
WAZIRI MKUU AZINDUA ALBINO MOBILE APP
-
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa
amezindua 'Albino Mobile App' ambayo ni program ya simu janja
itakayowezasha usajili na...
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.