LEO jiji la Mwanza linakwenda kupata mwakilishi katika barangeni la tasnia ya ulimbwende nchini, mshindi ambaye atajumuika na washiriki wengine kwenye kinyang'anyiro cha miss Lake zone na hatimaye lile kubwa Vodacom Miss Tanzania.
Mkurugenzi wa Clouds Ruge Mutahaba, Zamaradi Mketema, Msanii Mwasiti na Reuben Ndege nao ni moja kati ya mashuhuda usiku huu.
Vazi la ufukweni linaendelea kuchukua nafasi.
Katika pozi tofauti tofauti wakazi wa Mwanza waliobahatika kuingia ukumbini hapo kwani kuna wengine wengi waliamua kuishia mlangoni kutokana na kukosa nafasi juu ya nyomi lilokuwamo ndani.
RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TRA MKOA WA SIMIYU
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan leo
tarehe 16.06.2025 amezindua jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa
wa Simiy...
WAACHENI WATOTO WAENDE SHULE- RAIS SAMIA
-
Na John Mapepele -OR TAMISEMI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan
amewataka wazazi nchini kuwaachia watoto wa kike kus...
Mahakama yabariki Lissu kujitetea kesi ya uhaini
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemruhusu Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ku...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.