ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 23, 2011

YANAYOENDELEA SASA KIRUMBA KUELEKEA SERENGETI FIESTA MWANZA

Jukwaa la show kali ya kwanza ya Fiesta 2011 ambalo litatumiwa na mwanamuziki wa kimataifa Shaggy, sanjari na wasanii wengine maarufu hapa nchini Tanzania limeanza kufungwa leo rasmi katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza ilikuwa ni majira ya saa 3 asubuhi nalo likifungwa hatua kwa hatua mpaka jioni hii. .

Wataalam wakiwa bize na ramani nzima vichwani mwao...

Mmm Eeeh baba!!

Umeme ni fulu hatukopeshi.

Live toka CCM Kirumba.

Ncha kali akihojiana na msanii chipukizi Ami Kiga aliyesafiri toka mkoani Morogoro hadi Mwanza kwa raslimali zake kwaajili tu! ya kuifuata Fiesta ya 10 na ya kwanza kwa mwaka huu 2011 tarehe 26juni.

Ncha kali, Zamaradi na Babra Hassan wakizijadili sms zilizotumwa na wasikilizaji kuhusu msanii huyo chipukizi ambapo... mwisho wa siku alifanikiwa kupata chansi kutinga fiesta, kutokana na sms za watu kumtaja kuwa anastahili.

NB:

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.