ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 22, 2011

MISS MWANZA KUPATIKANA IJUMAA HII

Hatimaye Zawadi za washindi wa Vodacom Miss Mwanza 2011, zimetangazwa leo katika ukumbi wa Hoteli mpya ya Gold Crest iliyopo katikati ya jiji la Mwanza. Akitangaza zawadi hizo Katibu wa Sisi Entertainment Mukhsin Mambo maarufu Mc Stopper ameeleza, kifuta jasho kwa washiriki nafasi ya sita hadi ya kumi na nne watapata Tsh. 100,000/=

Nafasi ya Tano- 200,000/= Nafasi ya Nne- 200,000/= nafasi ya Tatu- 300,000/= Nafasi ya Pili- 500,000/= na Vodacom Miss Mwanza 2011- 1,000,000/=

Matembezi na elimu ya Vodacom.

Wakipata maelezo Idara kwa idara..

Hii ni kwa mara ya kwanza kwa Miss Mwanza kuzawadiwa donge nono la Tshs. 1,000,000/=

Mara baada ya warembo hao kupata fursa ya kutembelea ofisi za Vodacom Mwanza kushuhudia shughuli zinazofanywa katika ofisi hizo walipiga picha ya pamoja nje ya ofisi za Vodacom Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.