Ayaaaaa ananikumbusha mbaaali sana....Enzi zanguZZz!! Nakumbuka enzi hizo nilikuwa fundi mzuri kweli kweli - kufuma mipira ya chandimu yaani nyenzo zote mpira utadunda huo... nowmaa (Uliza kwa sana Shule ya Msingi Levolosi Ar, Hinduki Mlp na Uhuru Shy).
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.