ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 2, 2011

KOSHA MACHO:

Kaka akila bata' ni ndani ya hoteli moja maarufu pale Ngudu wilayani Kwimba.

Stephano Charles na Sahani Richard wakifuma mpira.
Ayaaaaa ananikumbusha mbaaali sana....Enzi zanguZZz!! Nakumbuka enzi hizo nilikuwa fundi mzuri kweli kweli - kufuma mipira ya chandimu yaani nyenzo zote mpira utadunda huo... nowmaa (Uliza kwa sana Shule ya Msingi Levolosi Ar, Hinduki Mlp na Uhuru Shy).

Barabara inayoingia katikati ya mji wa Ngudu hatimaye kituo cha mabasi Ngudu wilayani Kwimba.

Barabara ya Mwanza-Shinyanga inayoendelea kufanyiwa matengenezo mara baada ya kuchekesha.

Barabara ya Mwanza-Shinyanga inayoendelea kufanyiwa matengenezo mara baada ya kuchekesha ikitiwa maji.

Mwanza usiku na barabara ya mtaa wa posta.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.