Anaitwa Anthony Weiner,ni representative aka mbunge wa chama cha Mr Obama hukoo unyamwezini. Huyu mbunge baada suala la Osama kuuawa hivi karibuni kwa sasa ndio anashikilia vichwaa vya habari na mabreking nyuzi huko huko Obama bay(marekani). Juzi kati amekumbwa na kisanga cha ufuska baada ya kugundulika kupitia ma-facebook na ma-twitter kuwa alikuwa akimmuvuzishia binti mmoja kigori wa chuo kimoja mapicha ya ngono yenye kutia hamasa. Mtoni nako kama bongo tu, wambeya, wanafki, vishanshuda si wakazikamata bwana hizo picha!? ikawa noma kwenda mbele hadi sasa! Sasa kazi kwenu nyie wapenzi wa mafacebook na matwitter yenu....
''Bado kidogo tu ningekuwa nimejazia kama Rambo ama anodi shozniga'', of coz kwa kifua hiki ntakutuliza..teh teh teh. Ndivyo kichwani alichokuwa akiwaza bwana Weiner kabla hajazisongesha picha zake kwa mdafada Gennette.
Chunguza mjomba utabaini' Ichekshie vizuri hii pic,: Ni boxer nyeupe iliyo kwenye bodi ya Gavana huyo, huku ze@#$%^&*@ dot jogoo.maungo ni kokolikooooo mbaya. Hiyo ndio kazi ya kujifotoa aliyokuwa akiifanya mbunge Weiner akiwa chumbani kwake. Sijui alikuwa akimvizia mkewe akiwa anaoga bafuni ndo anafanya huu usanii? Sijui''
''Kwa jina naitwa Gennette Cordova, nasoma katika chuo cha Seattle college, ile mipicha ya mbunge yuko kifua wazi pamoja na ile amevaa kile ki-boxer ndani yake nanihiiii #@%%#@ inaonekana ndio zilikuwa zinakuja kwangu, najuuuuuta kumfahamu mbunge Weiner''.
Huma Abedin, (pichani kulia) ndiye mke wa mbunge Anthony Weiner. Huyu mama sio tu kwamba ni msomi bali bata lake ni noomaaa, kwa taarifa yako huyu mama ni mmoja wa wasaidizi wa juu sana wa Hillary Clinton ambaye ni secretary of state huko mbelembele.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA NEC
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya
CCM Ta...
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA NEC
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya
CCM Ta...
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA NEC
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya
CCM Ta...
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.