Washiriki wa shindano hilo wakiwa jukwaani katika shindano la kumsaka Kimwana wa Twanga 2011
Kutoka kushoto ni MC Sauda Mwilima, Mratibu wa shindano hilo Maimatha Jesse (Mai), Asha Baraka na Khadija Kalili.
Migongo ikapindwa basi ilimradi ilikuwa rahaaaaa.
Miondoko ikiendelea nyoka zikakatwa kila mmoja kwa umahiri wake aliojaaliwa.
Hawa ndiyo Majaji akiwamo Mtangazaji wa Kituo Cha Redio Clouds Gerald Hando (katikati) wakiwatendea haki washiriki, huyo bidada aliyeketi ni aliyekuwa mshindi wa pili wa shindano la Kimwana Manywele 2007 Husna Idd.
Mpenyezaji wa picha na habari hizi Khadija Kalili BONGOWEEKEND (kulia)na Asha Baraka katika pozi kirafiki zaidi.
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
-
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika
jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani
kwa ...
0 comments:
Post a Comment