Akiwa ni mmoja ya watayarishaji wa muziki hapa nchini, akichangia mapinduzi ya Bongo Fleva Hip hop kwa kufanya kazi na wasanii wakubwa nchini kama vile Joe Makini, Profesa Jay, Juma Nature, J MOO, Kundi la Nako2Nako na hata kuwanyanyua wasanii wachanga wakasikika, jamaa kwa sasa anapiga mzigo pale Mo Recordz Mwanza, Hapa namzungumzia Producer Nick Owiti Jr aka Q The Don ambaye Today is his birthday.
MONGELLA AWAMWAGIA SIFA UWT KWA UTENDAJI ULIOTUKUKA
-
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara Ndg John Mongella ametoa sifa kwa
jumuiya ya UWT kwa kuwa mstari wa mbele katika kuelezea kazi za Chama kwa
wananchi...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.