Ni katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza Leo tareha 21/05/2011. Kwa Kiingilio cha shilingi 3,000/= tu! 20%, Joe Makini, Linah, Barnaba, Sam wa ukweli, Mataluma, GodZilla, Mpoki, Wote hawa kutumbuiza.
Wataalam wa Sound toka Prime Times Promotion wakipata kitu cha supu' Mwanza..
Mambo sita kuuelewa msimamo wa Papa mpya
-
Papa Leo alichaguliwa kuwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki Alhamisi
kufuatia kifo cha mtangulizi wake, Papa Francis, katika kongamano la siku
mbili katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.