Ni katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza Leo tareha 21/05/2011. Kwa Kiingilio cha shilingi 3,000/= tu!
20%, Joe Makini, Linah, Barnaba, Sam wa ukweli, Mataluma, GodZilla, Mpoki, Wote hawa kutumbuiza.
Wataalam wa Sound toka Prime Times Promotion wakipata kitu cha supu' Mwanza..
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment