ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 21, 2011

MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA MAZISHI YA SHEKHE YAHAYA YALIYOFANYIKA LEO.

Baadhi ya wanafunzi wa Marehemu Shekhe Yahaya wakiwa Ibadani nyumbani leo asubuhi.

Makamu wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mohamed Gharib Bilal pamoja na baadhi ya viongozi wakiwa kwenye shughuli ya mazishi ya aliyekuwa mtabiri maarufu nchini Shekhe Yahaya Hussein aliyeaga dunia jana jijini Dar es sana kuzikwa leo tarehe 21 May 2011 katika makaburi ya Tambaza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.